BBC News, Swahili - Habari
Habari Kuu
DR Congo yaishtaki Rwanda katika Mahakama ya kimataifa ya haki
Waziri wa Sheria wa Congo, Guillaume Ngefa Atondoko Andali, amesema Kinshasa imechukua mkondo wa kisheria kama sehemu ya dhamira yake ya kutatua migogoro kwa njia za amani chini ya Mkataba wa Umoja wa Mataifa.
Tetemeko la ardhi Venezuela: Idadi ya waliofariki yafikia 589 huku waokoaji mbioni kuwatafuta manusura
Wakati huo huo, timu za kimataifa za uokoaji, zikiwemo waokoaji 80 kutoka Uswisi na wahudumu wa misaada kutoka Mexico, zimejiunga na juhudi za kutafuta manusura chini ya vifusi.
Serikali yapiga marufuku tena mikutano ya kisiasa Tanzania
Tangazo hilo limekuja ikiwa ni takribani miaka mitatu tangu Januari 2023, wakati Rais Samia Suluhu Hassan alipofungua tena mikutano ya vyama vya siasa iliyokuwa imepigwa marufuku kwa zaidi ya miaka sita wakati wa utawala wa hayati John Magufuli. Wakati huo, viongozi wa vyama vya upinzani walipokea uamuzi huo kwa tahadhari, wakieleza hofu kuwa marufuku hiyo ingeweza kurejeshwa wakati wowote.
Marupurupu na matatizo ya chakula: nini kinaendelea ndani ya timu ya Senegal?
Migogoro kuhusu marupurupu na malipo, mabadiliko ya mpishi yaliyofanywa dakika za mwisho, pamoja na malalamiko kuhusu chakula, vilitawala kipindi cha maandalizi kabla ya mechi za kwanza.
'Vita vya nani mwenye ushawishi' katika mlango bahari wa Hormuz
Vyombo vya habari vya kikanda na vya ndani katika ulimwengu wa Kiarabu viliripoti kwa kina taarifa zinazokinzana kutoka Iran na Marekani kuhusu hali katika Mlango-Bahari wa Hormuz.
Matetemeko 10 ya ardhi mabaya zaidi kuwahi kutikisa dunia
China ndiyo nchi iliyopoteza watu wengi zaidi, ambapo takriban watu milioni 1.3 walifariki dunia katika matetemeko matatu tofauti, kulingana na takwimu za Taasisi ya Jiolojia ya Marekani.
Mataifa 10 yenye amani zaidi barani Afrika 2026
Huku sehemu za bara zikiendelea kukabiliana na ugaidi, uasi, na ukosefu wa utulivu wa kisiasa, nchi kadhaa zimedumisha viwango vya juu vya amani na usalama.
Nani anayedhibiti Mlango-Bahari wa Hormuz sasa baada ya makubaliano?
Makubaliano yamefikiwa kati ya Marekani na Iran ili kumaliza mzozo katika Mashariki ya Kati.
Tetesi za soka Ulaya Ijumaa: Arsenal wamtaka Bruno Guimaraes wa Newcastle
Viungo wa Newcastle Sandro Tonali na Bruno Guimaraes wanahitajika, Chelsea wanamtaka Maxence Lacroix na Liverpool bado wanamfukuzia Yan Diomande.
Familia za waathiriwa wa maandamano ya Gen Z waweka mashada ya maua
Caroline Mutisya, ambaye mwanawe, Erickson Kyalo Mutisya, aliuawa karibu na Bunge.
Manowari mpya ya Hangor ya Pakistan ina nguvu kiasi gani?
"Hangor" ni aina ya papa anayewinda kimya kimya, akifuatilia mawindo yake kwa subira hadi apate fursa mwafaka, kisha hushambulia kwa ghafla.
Kombe la Dunia 2026 - Mechi na Matokeo
Pata matokeo, ratiba za mechi, magoli na wafungaji mubashara wa Kombe la Dunia 2026 sehemu moja.
Unataka kupunguza gharama za data?
Soma mtandao wetu wa maandishi kwa gharama ndogo za data.
Gumzo mitandaoni
Kwa nini uume ni kipimo muhimu cha afya ya mwanaume
Kwa mujibu wa utafiti uliofanywa hivi punde, wanaume wenye tatizo la kushindwa kusimamisha uume walibainika kuwa na uwezekano mkubwa kwa asilimia 59 wa kupata ugonjwa wa mishipa ya moyo na uwezekano mkubwa kwa asilimia 34 wa kupata kiharusi.
Mambo muhimu 14 waliyokubaliana Iran na Marekani
Makubaliano ya Marekani na Iran ya kuongeza muda wa usitishaji mapigano kati ya nchi hizo mbili yamesainiwa na sasa yameanza kutekelezwa, afisa mmoja kutoka ikulu ta White House ameiambia BBC.
Je, wanadamu wanaweza kupata watoto katika anga za juu?
Jumuiya ya watafiti wa anga za juu imetoa ahadi kubwa kuhusu mustakabali wa maisha ya binadamu nje ya Dunia.
Kwanini Kim Jong-un huwa hamzungumzii mama yake?
Ko alifariki kabla ya Kim Jong-il, ila kifo chake katika hospitali moja mjini Paris hakikutajwa na vyombo vya habari vya Korea kaskazini.
CCM kuna Yuda au ni homa ya urais 2030?
Mitandao ya kijamii nchini Tanzania imelipuka kwa mjadala kuhusu jina moja tu - "Yuda". Limeibuliwa na mwanasiasa Simai Mohammed Said. Yuda ni nani? Kwanini Simai ameamua kuzungumza sasa? Na kwa nini achague Bunge, badala ya vikao vya chama, kuwasilisha ujumbe huo?
Kuanzia Makonda hadi Mafwele, hawa ni 'vigogo' 5 Afrika Mashariki waliopigwa marufuku kuingia Marekani
Nchi za Afrika Mashariki, zimekumbwa na vikwazo vya watu wake kuzuiwa kuingia Marekani huku majina makubwa ya kisiasa na kiusalama, kutoka Tanzania, Kenya, hadi Rwanda na Uganda yakiguswa.
Hali ya maisha katika nchi tano salama zaidi duniani 2026
Viwango vya jumla vya amani vilizorota katika nchi 99, ikiashiria mwaka wa kumi na mbili mfululizo wa kushuka kwa hali ya usalama ulimwenguni.
Hifadhi za urani iliyorutubishwa za Iran ziko wapi?
Shirika la Kimataifa la Nishati ya Atomiki (IAEA) lilisema wakati huo kwamba Iran ndiyo nchi pekee isiyo na silaha za nyuklia duniani iliyofikia kiwango hicho cha juu cha urutubishaji.
Mataifa 10 ya Afrika yaliyo na uwezo mkubwa wa kiviwanda: Morocco yaipiku Afrika Kusini
Afrika imeshuhudia mabadiliko katika ukuaji wa kiuchumi kati ya Morocco na Afrika Kusini mwaka uliopita 2025, kulingana na Kielezo cha Maendeleo ya Viwanda cha Benki ya Maendeleo ya Afrika(AfDB)
Kutoka kivuli hadi alama ya nguvu duniani, Putin alijengaje taswira yake?
Kwa miaka mingi, Vladimir Putin ameibadilisha Urusi kutoka taifa lenye demokrasia changa na dhaifu kuwa dola yenye mfumo wa kiutawala wa kimabavu ambao kwa kiasi kikubwa umejengwa kumzunguka yeye kama rais.
'Tunahofia maisha yetu': Muda wa mwisho kwa wahamiaji kuondoka Afrika Kusini wakaribia
Waandamanaji wameweka tarehe 30 Juni kuwa siku ya mwisho kwa wahamiaji wote wasio na nyaraka halali kuondoka nchini.
'Nimewapiga marufuku wanaume wengi kwenye kliniki yangu ya masaji kwa sababu ya tabia zao'
Baada ya miezi mitatu tu ya kufanya kazi kama mtaalamu wa masaji aliyehitimu, Maria aliamua kuchagua zaidi ni nani anayemtibu.
BBC News Swahili sasa ipo WhatsApp
Dira ya Dunia TV
Kipindi cha habari motomoto, kinachowaweka watazamaji karibu zaidi na yanayojiri duniani
























































